Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka

"Usafiri wa Umma Nadhifu"

DART Logo
Ezron Charles Kilamhama photo
Mhandisi Ezron Charles Kilamhama

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Usafirishaji

Wasifu

Ezron C. Kilamhama ni Mhandisi aliyesajiliwa katika Bodi ya Usajili wa Waandisi Tanzania (PE.3201), ana Shahada ya Uzamili katika Usimamizi wa Uhandisi akibobea katika Usimamizi wa Miradi. Mhandisi Ezron ni Mwanachama wa Taasisi ya Wahandisi Tanzania (MIET 1751) mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 20 katika kubuni, kusimamia na kuratibu miradi ya miundombinu.