Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka

"Usafiri wa Umma Nadhifu"

DART Logo
Philemon Mzee photo
Dkt Philemon Mzee

Mkurugenzi wa Uendeshaji na Usimamizi wa Miundombinu

Wasifu

Mhandisi Dkt Philemon Mzee ni Mkurugenzi wa Uendeshaji na Usimamizi wa Miundombinu. Anauzoefu wa zaidi ya miaka 15 akibobea katika menejiment ya sayansi na uhandisi. Mhandisi Dkt. Mzee ana shahada ya uzamivu katika Menejiment ya Sayansi na Uhandisi kutoka Chuo Kikuu cha Dalian nchini China. Pia ana Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara kutoka China, na Shahada ya Uhandisi wa Mitambo kutoka India. Ni Mhandisi Mitambo aliyesajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) ya Tanzania.