Sixmund Satu 
                                
                                
                                              
                            
   
                           
                                
                                   Sixmund Satu 
                                
                                
                              
                            Dereva, ‘‘Tunajitahidi kutoa huduma zetu kama inavyotakiwa,Kama dereva kuna kipindi hunibidi kusimama kurudi nyuma kuwaelewesha abiria kuhusu kuwapisha watu wenye mahitaji maalum ikitokea hajapata siti katikati ya safari,abiria wanajua lakini wengine wanafanya makusudi,na wengine majibu yao huwa sio mazuri’’.
            