Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa Wakala, Bw. David Kafulila akitoa neno baada ya kuzinduliwa kwa bodi hiyo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Julai 31, 2026.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa Wakala, Bw. David Kafulila akitoa neno baada ya kuzinduliwa kwa bodi hiyo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Julai 31, 2026.
Mhe. Prof. Riziki Shemdoe akihutubia viongozi na wajumbe waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa Wakala wa DART, Julai 31, 2026.
Mhe. Prof. Riziki Shemdoe akihutubia viongozi na wajumbe waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa Wakala wa DART, Julai 31, 2026.
Mtendaji Mkuu DART, Bw. Said Tunda akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Wakala pamoja na Watoa Huduma ya Mabasi - Kampuni ya UDART na Mofat, wakati wa maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 50 Dar es salaam.
Mtendaji Mkuu DART, Bw. Said Tunda akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Wakala pamoja na Watoa Huduma ya Mabasi - Kampuni ya UDART na Mofat, wakati wa maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 50 Dar es salaam.
Balozi wa Tanzania nchini Japan, Mhe. Balozi Anderson Mutatembwa akipata maelezo kuhusu fursa za uwekezaji zilizopo katika Mradi wa DART, kutoka kwa Maafisa wa DART pale alipotembelea Banda la Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 50 Dar es salaam.
Balozi wa Tanzania nchini Japan, Mhe. Balozi Anderson Mutatembwa akipata maelezo kuhusu fursa za uwekezaji zilizopo katika Mradi wa DART, kutoka kwa Maafisa wa DART pale alipotembelea Banda la Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 50 Dar es salaam.
Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma katika Mradi wa DART Awamu ya Tatu
Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma katika Mradi wa DART Awamu ya Tatu
Wadau wakutana ujenzi wa BRT Awamu ya Tano barabara ya Mandela
Wadau wakutana ujenzi wa BRT Awamu ya Tano barabara ya Mandela
Kaimu Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mha. Ephatar Mlavi, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka katika kituo kikuu cha Gongolamboto wakati wa ziara ya Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, tarehe 14 Machi 2026.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mha. Ephatar Mlavi, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka katika kituo kikuu cha Gongolamboto wakati wa ziara ya Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, tarehe 14 Machi 2026.
DART waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kutoa msaada kwa wenye uhitaji Gereza Kuu la Mahabusu Segerea.
DART waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kutoa msaada kwa wenye uhitaji Gereza Kuu la Mahabusu Segerea.
Wanawake wa DART Waadhimisha Siku ya Wanawake kwa Vitendo
Wanawake wa DART Waadhimisha Siku ya Wanawake kwa Vitendo