DART waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kutoa msaada kwa wenye uhitaji Gereza Kuu la Mahabusu Segerea.
DART waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kutoa msaada kwa wenye uhitaji Gereza Kuu la Mahabusu Segerea.
Wanawake wa DART Waadhimisha Siku ya Wanawake kwa Vitendo
Wanawake wa DART Waadhimisha Siku ya Wanawake kwa Vitendo
Mtendaji Mkuu DART akielezea maendeleo ya mradi kwa Makatibu Wakuu waliofanya ziara kwenye Mradi wa DART tarehe 27 Februari 2026.
Mtendaji Mkuu DART akielezea maendeleo ya mradi kwa Makatibu Wakuu waliofanya ziara kwenye Mradi wa DART tarehe 27 Februari 2026.
Mtendaji Mkuu DART, Bw. Said Tunda alipokutana na ujumbe kutoka Benki ya Exim Februari 19, 2026 kwa lengo la kuboresha uhusiano wa kibiashara.
Mtendaji Mkuu DART, Bw. Said Tunda alipokutana na ujumbe kutoka Benki ya Exim Februari 19, 2026 kwa lengo la kuboresha uhusiano wa kibiashara.
Mtendaji Mkuu DART, Bw. Said Tunda akiongea katika kikao cha watumishi wote wa Wakala kilichojadili masuala utendaji kazi.
Mtendaji Mkuu DART, Bw. Said Tunda akiongea katika kikao cha watumishi wote wa Wakala kilichojadili masuala utendaji kazi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI, Mhe. Profesa Riziki Shemdoe, akitoa maelekezo kuhusu urejeshaji wa huduma ya usafiri katika Awamu ya Kwanza ya Mradi wa DART.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI, Mhe. Profesa Riziki Shemdoe, akitoa maelekezo kuhusu urejeshaji wa huduma ya usafiri katika Awamu ya Kwanza ya Mradi wa DART.
Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akipokea maelezo ya uharibifu wa miundombinu ya Mradi wa DART kutoka kwa Mtendaji Mkuu Bw. Said Tunda katika ziara aliyoifanya tarehe 24 Novemba 2025.
Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akipokea maelezo ya uharibifu wa miundombinu ya Mradi wa DART kutoka kwa Mtendaji Mkuu Bw. Said Tunda katika ziara aliyoifanya tarehe 24 Novemba 2025.
Maafisa wa DART pamoja na Waombaji wa Zabuni ya Utengenezaji na Usimakaji wa Mfumo Nadhifu wa Kuongozea Magari wakiwa katika kikao cha ufunguzi wa zabuni hiyo Novemba 13, 2025.
Maafisa wa DART pamoja na Waombaji wa Zabuni ya Utengenezaji na Usimakaji wa Mfumo Nadhifu wa Kuongozea Magari wakiwa katika kikao cha ufunguzi wa zabuni hiyo Novemba 13, 2025.
Kaimu Meneja wa Oparesheni DART, Mhandisi Joseph Lubilo akifungua mafunzo maalumu kwa Maafisa Usafirishaji, Operesheni na Watoa Huduma kwa Abiria kutoka Kampuni ya Mofat ambaye ni Mtoa Huduma ya Mabasi Awamu ya Pili ya Mradi wa DART.
Kaimu Meneja wa Oparesheni DART, Mhandisi Joseph Lubilo akifungua mafunzo maalumu kwa Maafisa Usafirishaji, Operesheni na Watoa Huduma kwa Abiria kutoka Kampuni ya Mofat ambaye ni Mtoa Huduma ya Mabasi Awamu ya Pili ya Mradi wa DART.
Aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa DART, Dkt. Athumani Kihamia (kushoto), akimkabidhi taarifa rasmi ya makabidhiano ya ofisi mrithi wake, Bw. Said H. Tunda, katika Ofisi za Wakala zilizoko Ubungo Maji Dar es salaam tarehe 07 Oktoba 2025.
Aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa DART, Dkt. Athumani Kihamia (kushoto), akimkabidhi taarifa rasmi ya makabidhiano ya ofisi mrithi wake, Bw. Said H. Tunda, katika Ofisi za Wakala zilizoko Ubungo Maji Dar es salaam tarehe 07 Oktoba 2025.