Wajumbe wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi DART wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza kupitia rasimu ya mpango wa bajeti ya mwaka 2023/2024 Mjini Bagamoyo tarehe 01 Machi 2023.
New DART fare from January 16, 2023.
DART Chief Executive Dr. Edwin Mhede explaining on how DART operates to the Chairperson of DART Advisory Board Dr. Florens Turuka, on his official visit at DART on 16th December, 2022.
DART Advisory Board Chairperson, Dr. Florens Turuka (fifth from the right) listens to DART ICT Manager Mr Ng’wanashigi Gagaga (fourt from right) on how AFCS operates during an official Visit on 16th December, 2022.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Angellah Kairuki (katikati) katika picha ya pamoja na Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka baada ya kuizindua Novemba 15, 2022 Dar es salaam.
Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Usafirishaji DART, Mhandisi Fanuel Kalugendo akitoa salamu kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wakati wa Kampeni ya Usafi Wilaya ya Temeke ili kuhamasisha usafi hususani katika miundombinu ya Mradi wa DART Awamu ya Pili.
Viongozi wa DART wakisafisha mitaro iliyopo katika miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu ya Pili katika barabara ya Kilwa eneo la Zakhem kwa lengo la kuhamisisha usafi katika miundombinu hiyo inayotajiwa kuanza kutumika Mwezi Machi 2023.
Kata Tiketi yako ya Safari kupitia Simu Janja.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Angellah Kairuki akizungumza na Watumishi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) wakati wa Ziara ya Kikazi aliyoifanya tarehe 10 Oktoba 2022 ikiwa ni mara kwanza tangu aapishwe kuwa Waziri wa TAMISEMI.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Angellah Kairuki akizungumza na Watumishi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) wakati wa Ziara ya Kikazi aliyoifanya tarehe 10 Oktoba 2022 ikiwa ni mara kwanza tangu aapishwe kuwa Waziri wa TAMISEMI.
Mtendaji Mkuu, Dr. Edwin P. Mhede akiteta jambo la Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Angellah Kairuki wakati wa ziara ya kikazi kukagua miundombinu ya Mradi wa DART tarehe 12 Oktoba 2022. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mhe. Kheri James.
Afisa wa DART, Mhandisi Nebu Kyando akitoa maelezo kwa Maafisa wa Mamlaka ya Barabara za Miji kutoka Kenya (KURA), namna abiria wanaotumia viti mwendo wanavyoingia ndani ya basi na kushuka.
Mtendaji Mkuu DART, Dr. Edwin Mhede akifafanua jambo kwa Muwakilishi wa Heshima wa Tanzania, Jamhuri ya Czech , Mhe. Roman Grolig na wajumbe alioambatana nao katika ziara ya kikazi katika Ofisi ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Septemba 15, 2022 Ubungo
Mtendaji Mkuu, Dr. Edwin P. Mhede akikabidhi zawadi kwa Muwakilishi wa Heshima wa Tanzania, Jamhuri ya Czech, Mhe. Roman Grolig mara baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi Septemba 15, 2022 iliyoangazia fursa ya uboreshaji wa usafiri wa umma DSM
Mtendaji Mkuu wa DART Dkt.Edwin Mhede akielezea namna mfumo wa ukusanyaji nauli (AFCS) unavyofanya kazi kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji (PIC) ilipotembelea mfumo huo Gerezani Septemba 3, 2022
Karibu tukuhudumie, kwa maoni, ushauri na msaada kuhusu huduma zetu.
Mtendaji Mkuu DART, Dr. Edwin Mhede katika picha pamoja na Kamati ya Usimamizi wa Mradi wa Maendeleo Yatokanayo na Maboresho ya Usafiri wa Umma (TOD) mara baada ya kufungua mkutano wa kamati hiyo kwa niaba ya Katibu Mkuu TAMISEMI Julai 18, 2022.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Dk.Edwin Mhede (aliyeshika mpira) akiwa na watumishi wa DART wakati wa Bonanza lililofanyika siku ya Sabasaba Chuo cha Ardhi.
Park and Ride facility at Mtoni kwa Azizi Ali Feeder station
Elimu ya usalama katika Mfumo wa DART imekuwa ikitolewa mara kwa mara na Wakala wa DART kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi.
Huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka ikiendelea katika Mradi wa DART Awamu ya Kwanza.
Mtendaji Mkuu wa DART, Dr. Edwin Mhede na Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Bi. Latifa Mohamed wakisaini hati za makubaliano ya ushirikiano katika utekelezaji wa miradi minne. Wanaoshuhudia ni Wanasheria wa DART na TanTrade.