Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Kanali Mstaafu Fred Mwesigye (kushoto) akiteta jambo na Mtendaji Mkuu wa DART, Dkt. Athumani Kihamia wakati alipofanya ziara kwenye Ofisi za Wakala zilizoko Ubungo Maji Dar es Salaam.
Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Kanali Mstaafu Fred Mwesigye (kushoto) akiteta jambo na Mtendaji Mkuu wa DART, Dkt. Athumani Kihamia wakati alipofanya ziara kwenye Ofisi za Wakala zilizoko Ubungo Maji Dar es Salaam.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo akiongoza kikao kilichopitisha ujenzi wa Karakana eneo la Simu 2000 kwenye Mradi wa DART Awamu ya Nne.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo akiongoza kikao kilichopitisha ujenzi wa Karakana eneo la Simu 2000 kwenye Mradi wa DART Awamu ya Nne.
Dkt. Kihamia akiteta na wadau kuhusu ujenzi wa Karakana eneo la Simu 2000 kwenye Mradi wa DART Awamu ya Nne.
Dkt. Kihamia akiteta na wadau kuhusu ujenzi wa Karakana eneo la Simu 2000 kwenye Mradi wa DART Awamu ya Nne.
Kikao na wadau kuhusu ujenzi wa Karakana eneo la Simu 2000
Kikao na wadau kuhusu ujenzi wa Karakana eneo la Simu 2000
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI yakagua Maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa DART Awamu ya Kwanza ya Pili na ya Tatu, tarehe 4/5/2024.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI yakagua Maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa DART Awamu ya Kwanza ya Pili na ya Tatu, tarehe 4/5/2024.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mha.Rogatus Mativila (katikati) akitoa maelekezo kwa Maafisa TEHAMA wa DART baada ya kutembelea na kukagua mapokezi ya shehena ya kwanza ya mageti janja, kulia ni Mtendaji Mkuu wa DART Dkt. Athumani Kihamia, Aprili 23,2024 katika Kituo kikuu cha Gerezani Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mha.Rogatus Mativila (katikati) akitoa maelekezo kwa Maafisa TEHAMA wa DART baada ya kutembelea na kukagua mapokezi ya shehena ya kwanza ya mageti janja, kulia ni Mtendaji Mkuu wa DART Dkt. Athumani Kihamia, Aprili 23,2024 katika Kituo kikuu cha Gerezani Dar es Salaam.
Wanawake DART wawakumbumbuka wafungwa kwa kutoa zawadi mbalimbali kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake DART wawakumbumbuka wafungwa kwa kutoa zawadi mbalimbali kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani
Dkt. Kihamia akizungumza na Watumishi wa DART alipokutana nao kwa mara ya kwanza tarehe 26 Januari 2024.
Dkt. Kihamia akizungumza na Watumishi wa DART alipokutana nao kwa mara ya kwanza tarehe 26 Januari 2024.
Mtendaji Mkuu DART akisalimiana na abiria alipokagua maendeleo ya utoaji huduma
Mtendaji Mkuu DART akisalimiana na abiria alipokagua maendeleo ya utoaji huduma
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mha. Rogatus Mativila (katikati) katika picha ya pamoja na Menejimenti ya DART mara baada ya kushuhudia makabidhiano ya Ofisi kati ya Mtendaji Mkuu Dkt. Athuman Kihamia na mtangulizi wake Dkt. Edwin Mhede, Januari 16, 2024 Ubungo Maji Dar es salaam.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mha. Rogatus Mativila (katikati) katika picha ya pamoja na Menejimenti ya DART mara baada ya kushuhudia makabidhiano ya Ofisi kati ya Mtendaji Mkuu Dkt. Athuman Kihamia na mtangulizi wake Dkt. Edwin Mhede, Januari 16, 2024 Ubungo Maji Dar es salaam.